Naomba ushauri wana jamii forum

Nahisi ukirudiana nae ata kuacha ghafla
 
We mkubalie tu! ila siku MAWASILIANO yakikata ghafla usisite kuja kutuomba ushauri hapa jf.
 
Wacha watu wakushauri lakini wasikuamulie. Mapenzi huisha yakabaki mazoea kwa hivyo huyu joe anataka mapenzi na maskini hajui kuyalea. Kama huja zaa naye mtoto chunga asikupe ulezi alafu akutimue alafu alete visababu vyakua we ni catholic naye ni muABC
 

Asante kwa ushauri wako Snowball..............
 
dada sugua goti.kila mtu na bahati yake. yawezekana huyo ni wako ndo mana kazunguka kote huko lakin bdo karud kwako! all da best mdada. . . .

yana kama ulikuwa unajua hata mimi ninafikiria hilo, kwanini azunguke kote huko kisha arudi kwangu tu. ukizingatia kuwa yupo mbali mimi nipo Lindi yeye yupo DSM lakini karudi kwangu.. N-way naendelea kuomba huenda ndo akawa ndiye niliyepangiwa.
 

asante kwa ushauri
 
wengi wanakushauri rudiana nae,hali kadhalika mimi pia....ila this time kuwa makini sana dada yng.otherwise wishing you all the best ktk mahusiano yenu mapya.
 
Kwa ushauri wangu mkubalie muchunguze ikiwezekana mfunge ndoa mwenzako huenda ameshateseka sana ndo maana ameamua kurud kwako mpe nafasi ya mwisho.
 
Jiandae kusumbuka....
Hapo keshajigundua kabisa kwamba yeye mwenyewe ni mzigo..na ameona wewe ndo unaweza kumbeba (na hapa ndipo inapokuja hiyo mantiki yako kwamba kazunguka kote hatimae amerudi kwako)!!

If I were you..
Ningejipiga stop kudeal na hivyo vitu nikastick kwenye mambo mengine binafsi......hii ingenisaidia kutulia na kuobserve the reality na si kufanya maamuzi kwa kudhani. This is due to the fact that;

1. Mtu mwenyewe haukumfahamu kabla zaidi ya kukutana kwenye basi....so huna uhakika sana na sababu za yeye kuachana na mpenzi wake wa awali waliyezaa mtoto, pengine ni factors zaidi ya kigezo cha dini.
2.Mpaka sasa uzipatazo ni stori kuwa mke waliachana tena ndiye mkorofi. Je, una uhakika gani kama sio matatizo ya huyo mwanaume mwenyewe??

Mwisho nakuonya, usiingie kwenye ndoa kwa matumaini eti kisa tu wamjua na aliwahi kuwa wako.....eti na sasa amerudi tena kwako, itakugharimu!
 
Story nzuri nimeipenda na kwabahati nzuri hujadanganya kama walivyo wengi. Kwaupande wangu nimeona kuwa mapenzi yenu ww na joe ni natural japo kuna modification kathaa maranyingi mapenzi ya namna hii yanadumu kwa muda mrefu kinachoonekana ni kwamba umbali kati yenu ndio chanzo. sasa inabidi uhakikishe kuwa huko tena mbali nae na mkapime ww na yeye na kama hakuna mwenye tatizo basi kwamoyo mkunjufu mkubalie kwani mapenzi ktk dunia ni zawadi ambayo haijirudii kamwe hivyo kama unampenda kweli mpe mkubalie
nawatakia kila la heri kama mtafanikiwa kufunga ndoa basi na idumu miaka mingi na Mungu awachukue mkiwa kitandani(wazee sana)
 
Dhambi za huyu bwana zimeanzia hapo kutokana na ubaguzi.
 
jamaa anaoa then mambo yanatokea badala asolve anatafuta mwingine wa kuoa then matatizo yatokee afu aoe mwingine.....na wew utaolewa,ataona kuna mambo na matatizo yanakuja atakuacha ataoa mwingine...akili zako changanya na za mbayuwayu...

ategemee kombora huyo jamaa hana msimamo,hakuna mtu mkamilifu
 
Love is an art! chunguza walishindwana nn na mke wake then amua accordingly
 

Kipipi hivi Adam na Hawa walifahamiana muda gani kabla ya kuoana? Kwenye mapenzi hakuna formula kama za hisabati. Love can start from nowhere and last for 50+ years!
 
Du kweli ile nadharia ya uhaba wa wanaume wa kuoa kumbe kuna wanawake wanaitumia barabara.mmmmmmmmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…