Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wa jf wenzangu, nataka kuanza biashara ya kutoa huduma kupitia mitandao sasa naomba mnipe ushauri na uzoefu wenu kuhusiana na biashara ya kuuza umeme (luku), uuzaji wa vocha za simu na mengineyo kupitia hizi mashine za maxmalipo, selcom, paypoint na wengineo, je ni kampuni gani kati ya hizo ni bora kwa network, faida, urahisi wa kutumia mashine zao n.k