Naomba ushauri wenu jamani

Faru12

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2014
Posts
391
Reaction score
235
Habari zenu.

Kama kichwa cha habari kisemavyo, wale wajuzi wa magari pia wale wenye uzoefu na hizi gari DAEWOO NUBIRIA naombeni ushauri wenu wa jinsi hii gari ilivyo.

- Ubora
- Upatikanaji wa spare
- Na changamoto za hii gari zikoje?

Ni gari nataka kuichukuwa kwaajili ya kufanyia biashara.

 
Umeshaziona ngapi barabarani hapa Tz?
 
utakuja kufugia kuku tu,bora ununue hata Toyota Platz tu naona vinafanana.
 
Unataka kua mtu wa kwanza kuleta DAEWOOD NURUBIA Tanzania?
 
Mtatuambia Kuna magari yanaitwa TOYOTA K-VANT, AU NISSAN SERENGETI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…