Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Habari za jion waheshimiwe Nina mpango wa kununua hii laptop aina ya Asus vivobook 15
Core i3 gen 10th
Nimeona inasifa nzuri na bajeti yangu inaendana Kuan mdau anaiuza Kwa 400K naona Iko powa Kwa gaming na bajeti yangu atleast inarun 19 na 23
Naomba ushauri wenu kuhusu changamoto na za hizi brand za asus maana sijawahi tumia Kabisa
Core i3 gen 10th
Nimeona inasifa nzuri na bajeti yangu inaendana Kuan mdau anaiuza Kwa 400K naona Iko powa Kwa gaming na bajeti yangu atleast inarun 19 na 23
Naomba ushauri wenu kuhusu changamoto na za hizi brand za asus maana sijawahi tumia Kabisa