naomba ushauri wenu leo yamenikuta sina ujanja wana jf

jane_000

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2012
Posts
547
Reaction score
43
wana jamii forum leo nimepata picha bwana wangu anakula denda na mwanamke ambaye mimi simjui nilipo muliza mwanamke wangu hii picha mmepiga wapi akasema maeneo ya mwenge na sio kweli nilivyo mbana akanipeleka sehemu nyengine ndio akasema alipo piga hiyo picha nikiwauliza wa hudumu wakasema hakuna kitu kama hicho na boyfriend wangu kasema uongo mara kwanza naomba ushauri wenu pls sitaki matani leo jane yamenikuta huyu jamaa nilikuwa na mpenda kweli naomba ushauri wenu
 
Kizuri shea na wenzio dada,usilie
 
pole sana mrusha na yeye hurushwa roho yake pia..
 
wana jamii forum leo nimepata picha 1. bwana wangu anakula denda na mwanamke .....nilipo muliza 2.mwanamke wangu hii picha mmepiga wapi
Jane-000!, Jane-000!, Jane-000!, Nnao ushauri mzuri ka ajili yako, lakini kabla ya kukushauri, hebu kwanza tuambie wewe ni jinsi gani. Ni mara kadhaa unaandika jinsia moja halafu unajisahau unaandika jinsia nyengine. Kuna watu wamekushutumu kuwa wewe ni dume. Tuambie ukweli
 

Wame msahau kwenye shindano la shemale.
 

Hata mie nimesoma mara mbili mbili na kuhisi kwamba ama ni uandishi tu wa hadithi au kuna tatizo jingine!!

Ngoja tumsubiri ajibu....ili tumshauri kwamba aache kutishwa na picha..kuna watu wanaletewa mzigo hali na kuomwa wawasindikize na bongo flava au pambio!!

Babu DC!!
 
Kwa mbaali jane na posts zako unashabihiana na member mmoja ambaye hatokei jukwaani aendaye kwa jina la 'NOT ENOUGH',
Threads zako hazipati suluhisho hata ufanyaje, lazima unakuja kivingine tu. Otherwise, pole sana jane!
 
Kwa mbaali jane na posts zako unashabihiana na member mmoja ambaye hatokei jukwaani aendaye kwa jina la 'NOT ENOUGH',
Threads zako hazipati suluhisho hata ufanyaje, lazima unakuja kivingine tu. Otherwise, pole sana jane!

Umenikumbusha topic moja ya NOT ENOUGH kule kwa wakubwa.
Naona alipewa BAN karudi na ID ingine.
 
Mimi mwanamke
 
Kwa mbaali jane na posts zako unashabihiana na member mmoja ambaye hatokei jukwaani aendaye kwa jina la 'NOT ENOUGH',
Threads zako hazipati suluhisho hata ufanyaje, lazima unakuja kivingine tu. Otherwise, pole sana jane!
I have no idea what ur saying
 
 

MAMMAMIA, umemkamata vizuri huyu JANE.00, sijajua hizo zeros zina maana kaktika kudanganya kwake ama zina reflect nini katika hili.Anasema, "NILIPOMUULIZA MWANAUME WANGU" na kishs kusema "MWANAMKE WANGU" sidhani kama ni typing errors.Yuko kiutani zaidi na si kwa ajili ya msaada.Ni vyema kuwa serious sometimes.
 

Kusema kweli nimejaribu kurudia sijaelewa post yako. Umesema umenasa picha bwanako akila denda na mwanamke usiye mjua. Halafu ukasema ulipomuuliza mwanamke wako. Sasa sijaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…