msinidanganye
Member
- Nov 17, 2012
- 15
- 1
uzito wangu ni na kilo 77 urefu 5.5
Mkuu, uzito wako upo juu sana. Nakushauri upunguze uzito wako uendane na urefu na jinsia yako, pia fanya mpango wa ku-boost kinga yako ya mwili. Jisomee mtandao huu http://maajabuyamaji.net/
Utapata majawabu ya matatizo yako. Kwa sasa naomba niishie hapa nitakuandikia tena jumapili hii nitakapokuwa nyumbani, muda huu nakuandikia nipo katika gari nasafiri.