Naomba ushauri wenu

Ndesa Khan

Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
7
Reaction score
26
Ndugu zangu katika bwana natumai mu wazima,kama kichwa kinavyo jieleza nipo karibu na mgodi Wa acacia gold mining sasa kuna fursa za vijana zimetolewa kwa mwenye wazo la kampuni atapewa support financial so mimi hadi sasa sijapata wazo la kampuni naomba msaada wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…