Huna nguvuWana jamii forum nilikuwa na uliza swali moja mm niko kwenye mahusiano kwa kipindi kuna changamoto niliyo kutana nayo hivi karibuni nilikuwa na mpenzi wangu katika hali ya kutaka kufanya tendo la kujamiana uume ghafla ukanyea hofu na mashaka vikanitawala kwa siku hiyo kikwel nilishindwa ila nika sema ngoja nijaribu kesho kutwa hali ilikuwa vile vile nataka kujua ni tatizo la kisakolojia au nguvu za kiume zimepungua
Sijazaliwa nalo mzee nilikuwa na piga mechi fresh na hata nikipiga bao la kwanza uume bado umesimama unataka yaan imenitokea hiv karibuniMkuu ushafikia expire date au? Hahahaaa kama hujazaliwa na hilo tatizo, basi litakuwa la muda tu so vuta subra.
anajiwekea njiti anapenda yeye au anawekewa na nani hiyo njiti?Mmmmm itakua anakueka njiti ya kiberiti kichwan kwake mkianza kuduu...
Washirikina utawajua tu na comment zao.Au uliingia anga za watu.maan cku hiz watu wanamachungu
Acha utapeli , hebu jisaidie kwanza wewe.diksoni njoo nikusaidiye dawa sangu ni kiboko sana utapona na ngufu italudi kama samani