Naomba ushauri


AD! Not only a normal card, he should play a JOKER !
 
Habari za asubuhi kaka na pole kwa maswahibu yaliyokukuta.Kaka hapo unapigwa CHANGA LA MACHO na huyo demu ni MSANII nawe jiulize ataugawaje Moyo wake kwa watu wawili? KAA NAYE MBALI ANAKUPOTEZEA MUDA HUYO! Jitahidi utasahau kwan UMEPENDA SIPO!
 
Kaka chukua maamuz magum kwa faida ya moyo wako, vinginevyo utaendelea kuumia. kumbuka kwa kadiri utakavyo beba mzigo mzito kichwani mwako ndivyo unazidi kuchoka, jitahid kutua mzigo huo utakuwa salama. Tambua kuwa siyo kila utakayempenda anakufaa, mungu akusaidie upate atakaye kufaa. ubrikiwe.
 
Thanx man sasa nimepata idea za maana, Asanteni sana wadau mlioguswa na natizo langu nashukuru kwa ushauri wenu,naamini sasa nitafanya maamuzi sahihi.
 
Habari za asubuhi kaka na pole kwa maswahibu yaliyokukuta.Kaka hapo unapigwa CHANGA LA MACHO na huyo demu ni MSANII nawe jiulize ataugawaje Moyo wake kwa watu wawili? KAA NAYE MBALI ANAKUPOTEZEA MUDA HUYO! Jitahidi utasahau kwan UMEPENDA SIPO!
asante kaka, nashuru kwa ushauri wako wenye kunipa nguvu asante sana man.
 
Thanx a lot man bt i thnk hii ndio mwisho ctak kupenda tena, ctakuja kaa na kumuamin msichana na hata ikitokea msichana amenipenda cjui atafanya nini ili nimuamini mana huyu binti wa sasa uki plus na hao walionitenda ndio kabisa nakosa imani na hivi viumbe!
 
 

You r running out of time!!!!!!!!! sepa huna chako hapo.
 
We unaambiwa unaweza kua nyumba ndogo alafu unalilia kua nyumba kubwa?Umeambiwa unapendwa ila mwenzio haachwi kwahiyo changanya miguu au tumianeni!
 
We unaambiwa unaweza kua nyumba ndogo alafu unalilia kua nyumba kubwa?Umeambiwa unapendwa ila mwenzio haachwi kwahiyo changanya miguu au tumianeni!
LIZY Haaaah haaah thanx dada, bt c unajua tena mtu ukipenda hali inavyokuwa!hapa ndio wadau wamejaribu kunionyesha other side ambayo kimazingira me nilikua siioni anyway bado nina maamuz magumu sana ya kuchukua
 
LIZY Haaaah haaah thanx dada, bt c unajua tena mtu ukipenda hali inavyokuwa!hapa ndio wadau wamejaribu kunionyesha other side ambayo kimazingira me nilikua siioni anyway bado nina maamuz magumu sana ya kuchukua

Mmh maamuzi magumu kati ya kuwa nyumba ndogo na kutafuta boma lako mwenyewe!??Dah...kila la kheri!
 
 
 
 
Kama kweli unampenda, you would do anything to see her happy.
Even if it means you aren't part of her happiness.
Even if you aren't happy yourself.
Even if it means you have to let her go.
 
kaka ckufich kwa ufup huyo bint wewe hakupend labda alikukubalia huku akimpa jamaa muda wa kurudiana nae na ckufich ukisema umuoe awe mkeo utakuwa unaingia matatzon mwnyewe mana huyo mcchana hakupend. Kama angekuwa anakupenda acngeweza kugawa penz? Na kwakuuliza umewah kumuuliza kuhusu jamaa aliachana nae vp au ndo shule iliwatenganisha? Ila kaka mm ninakushaur anza kuandaa na wewe mlango wa kutokea mana mwenzio maesha utengeneza anasubir bomu ili atoke kuwa makin ucje juta
 
Wala sijamtetea ila nakufungua wewe macho!Hayo maswala ya ngumu kuacha siyajui maana binafsi sijawahi kuona ugumu wake.Mpaka ashindwe kumuacha mtu ambae hata uhakika wa kama anampenda hana ujue yeye anampenda sana!Nwyz kwa mara nyingine uondoe kauli kabla stimu za kuchangia hazijaisha maana "BAADHI" yetu tunachukia generolaizeshen!
 
Bado tu siku yako haijafika, itafika na utafurahi mpaka basi, hakuna cha mikosi wala nini,subiri wako wa moyo yuko njiani
 
Bado tu siku yako haijafika, itafika na utafurahi mpaka basi, hakuna cha mikosi wala nini,subiri wako wa moyo yuko njiani
okay Gada mm nitasubir tu hiyo cku bila kuchoka bt 4 sure nimekata tamaa na haya mauala ya mapenz naona ni wiz tu hakuna ukweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…