Naomba ushauri

Tall Emma

Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
68
Reaction score
48
Mie Nina mtoto wa miaka6 na miezi name tangu azaliwe amekuwa na matatizo ya tumbo nimempeleka hospitali tofauti lkn bado tumbo lake halijakaa sawa huwa Mara nyingi anapitiwa na haja kubwa kwa kiasi kidogo ukimpa dawa za kienyeji au hospitali linatulia na wala si kuharisha anapitiwa na kiss cha haja kubwa huo in ugonjwa gani?
 
Pole sana wanakuja kukusaidia
 
Kwani hospital hawajakuambia kuwa ni ugonjwa gani? Au huwa unanunua tu dawa na kumpatia?
 
Waliwahi kunipa dawa ya amiba lakini matokeo take hayakuwa mazuri
 
Anapitiwaje hapo fafanua mkuu! Anajisaidia bila kujitambua? Au
 
Mkuu anapitiwaje? Tatizo ni kuanzia alipofikisha umri wa kujitambua??? ( miaka mitatu hivi)mwanangu ana scenario inayokaribiana na hiyo... Kwa sasa anatumia dozi ya vitunguu swaumu na kwa kiasi anaendelea vizuri yani kila asubuhi anakunywa maji ya moto na punje moja ya kitunguu swaumu.
Hali chochote hadi SAA 3 hivi ndio anakunywa maziwa/ uji.

Nimempeleka sana hospital ila anapewa dawa! Linapoa then linarudi....!! Linajaa anakuwa km ana utapiamlo na anaanza kuendesha kwa kasi sana! Hospital walisema ana uchafu tumboni.
 
Yaani yy tumbo linauma aharishi anaweza kujisikia kunya wakati huo chini kama kunatekenya haja kaa sawa kahaja kanapita na huwa kanaharufu sana in kiasi Dogo sana anachokunya
 
Yaani yy tumbo linauma aharishi anaweza kujisikia kunya wakati huo chini kama kunatekenya haja kaa sawa kahaja kanapita na huwa kanaharufu sana in kiasi Dogo sana anachokunya
YAWEZA kuwa Ni typhoid au Amoeba lakini pia mkague vizuri humo nyuma halafu Rudi Tena HOSPITALI Usiende zahanat nenda hospitali ya RUFAA ya MKOA eleza tatizo I WAPO atapewa dawa akatumia Tena asipo pona njoo hapa takuelekeza Cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…