Daah!![emoji1787][emoji1787]Hongera sana aisee umeuza brevis 8M kweli ulimpata Mbugila.
Kama uwezo wa maintainance ya. BmW upo chukua izo nyingne zitakupasua ktk safar ndfu though ktk displacement ya engine ningerikushauri uende kwa crown athletics 2gr 3500cc ile gari n jini kwa mwendoHabari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...
NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...
NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
Hongera sana aisee umeuza brevis 8M kweli ulimpata Mbugila.
Shukrani mkuu shukran.
We nunua gari mi nitakuuzia matyre na battery tu kwa bei ya punguzoNisaidie kuchagua mzee
Usinunue gari litakupotezea muda tu, kwanini usinunue baiskeli au pikipiki yenye bei rahisi?Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...
NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
chukua hiyo crown yenye 2GRShukrani mkuu shukran.
350GT na 2GR unasemaje hapo ? Alafu hizi ndege za chini zinaelekea wapiKama pesa ipo na unataka mwendo Ongeza kwenye list yako Nissan Fuga 350gt aka Ndege ya Aridhini....