ABUBAKARY Barnabas
Member
- Nov 14, 2023
- 71
- 53
😀😃🤣😅Hiyo GPA ulipataje ?
Kama kuandika ni mtihani kwako.
Rudi kwanza shule ujifunza kuandika halafu ndio mengine yatafuata.Habar natumai wazima nawaomba mnishauli
Nimemaliza diploma TPSC (Tanzania Public Service College) course Record, information and archive management GPA 3.0
Natamani niombe mkopo ilinendelee kusoma degree hususa accountancy je naweza nimekidhi vigezo na ni chio gani kizuri kwa koz hiyo
Kigezo kikuu cha kupata mkopo ni kukubariwa na Chuo unachoomba, kwa GPA ya 3.0 inategemea na Chuo ukiondoa UDSM wanataka GPA ya 3.5, kwa hio vigezo unavyo omba mkopo ukishaapply ChuoHabar natumai wazima nawaomba mnishauli
Nimemaliza diploma TPSC (Tanzania Public Service College) course Record, information and archive management GPA 3.0
Natamani niombe mkopo ilinendelee kusoma degree hususa accountancy je naweza nimekidhi vigezo na ni chio gani kizuri kwa koz hiyo
Mnishaurimnishauli
We si unaona hata GPA tia maji Ila mkopo akiomba Chuo anapewa hawaangalii mwandiko wake wala niniMkuu ni kweli wew ni muhitimu?😂
Mbona hata kuandika hujui?
mmmmh asomee udereva wa treni maana mwendokasi imeanzaWe si unaona hata GPA tia maji Ila mkopo akiomba Chuo anapewa hawaangalii mwandiko wake wala nini
Usikatishe ndoto zake inawezekana akafika Malengo na mkopo unatolewa na Serikali kuwasaidia wenye uhitaji km yeye,mmmmh asomee udereva wa treni maana mwendokasi imeanza
Mungu akusaidie sana kijana.Habar natumai wazima nawaomba mnishauli
Nimemaliza diploma TPSC (Tanzania Public Service College) course Record, information and archive management GPA 3.0
Natamani niombe mkopo ilinendelee kusoma degree hususa accountancy je naweza nimekidhi vigezo na ni chio gani kizuri kwa koz hiyo
Kukubaliwa sio kubariwa ni llllll sio rrrrrrrKigezo kikuu cha kupata mkopo ni kukubariwa na Chuo unachoomba, kwa GPA ya 3.0 inategemea na Chuo ukiondoa UDSM wanataka GPA ya 3.5, kwa hio vigezo unavyo omba mkopo ukishaapply Chuo
Mura kwa we ni vipi? Mugumu Serengeti?Kukubaliwa sio kubariwa ni llllll sio rrrrrrr
nenda TIAchio gani kizuri kwa koz hiyo
Asante lakini upi mtazamo wako juu ya CBEnenda TIA
kwa kuwa una Diploma(unaajirika), nashauri uingie evening classes(kama zipo)
mchana ushinde kibaruani