Mama Bhoke
Member
- May 4, 2012
- 40
- 6
Mwenzenu yamenikuta,house girl ame test urine 4 pregnancy nimetoka kazini ananiuliza ikiwa hivi majibu ni nini.Kuangalia majibu yenyewe positive kuonyesha kuwa ana mimba.
Kumbana amtaje aliemuwezesha hataki.
Ikanilazimu nijifanye upande wake nataka kumsaidia ila lengo kuu ni kumjua mhusika,nimefanya tafiti nimegundua hata tukienda kazini huwa hatoki wala hakuna mtu anaeingia ndani.Nimemwambia mpigie simu mhusika umwambie kuhusu hiyo mimba,nimerudi kazini nimepekua sim nimekuta namba iliyopagwa ni ya baba mwenye nyumba.Nilidhani ukisafishiwa chumba na kutandikiwa kitanda ndio kunakuwa na usaliti kumbe laa.Nikitoka kazini nafanya kazi za nyumbani kama kawaida lakini mwenzangu bado amenigeuka naomba ushauri jf.
Kumbana amtaje aliemuwezesha hataki.
Ikanilazimu nijifanye upande wake nataka kumsaidia ila lengo kuu ni kumjua mhusika,nimefanya tafiti nimegundua hata tukienda kazini huwa hatoki wala hakuna mtu anaeingia ndani.Nimemwambia mpigie simu mhusika umwambie kuhusu hiyo mimba,nimerudi kazini nimepekua sim nimekuta namba iliyopagwa ni ya baba mwenye nyumba.Nilidhani ukisafishiwa chumba na kutandikiwa kitanda ndio kunakuwa na usaliti kumbe laa.Nikitoka kazini nafanya kazi za nyumbani kama kawaida lakini mwenzangu bado amenigeuka naomba ushauri jf.