Naomba ushauri

Naomba ushauri

Mama Bhoke

Member
Joined
May 4, 2012
Posts
40
Reaction score
6
Mwenzenu yamenikuta,house girl ame test urine 4 pregnancy nimetoka kazini ananiuliza ikiwa hivi majibu ni nini.Kuangalia majibu yenyewe positive kuonyesha kuwa ana mimba.
Kumbana amtaje aliemuwezesha hataki.
Ikanilazimu nijifanye upande wake nataka kumsaidia ila lengo kuu ni kumjua mhusika,nimefanya tafiti nimegundua hata tukienda kazini huwa hatoki wala hakuna mtu anaeingia ndani.Nimemwambia mpigie simu mhusika umwambie kuhusu hiyo mimba,nimerudi kazini nimepekua sim nimekuta namba iliyopagwa ni ya baba mwenye nyumba.Nilidhani ukisafishiwa chumba na kutandikiwa kitanda ndio kunakuwa na usaliti kumbe laa.Nikitoka kazini nafanya kazi za nyumbani kama kawaida lakini mwenzangu bado amenigeuka naomba ushauri jf.
 
pole sana mwanajamii navyo hona hapo mfate baba mwenye nyumba mwambie issue nzima alafu msikilize na huyo mfanyakaz wako muondoee hapo kwako maana hutakiwi kulipa baya wewe fanya jema muombee mungu hakuna njia nyingine ndio ishakuwa hvyo tayarkwa upande wangu ndio hayo tu pole sana.
 
pole sana mwanajamii navyo hona hapo mfate baba mwenye nyumba mwambie issue nzima alafu msikilize na huyo mfanyakaz wako muondoee hapo kwako maana hutakiwi kulipa baya wewe fanya jema muombee mungu hakuna njia nyingine ndio ishakuwa hvyo tayarkwa upande wangu ndio hayo tu pole sana.[/QUO

nimemuuliza hata kataa yake haina nguvu.Ila eti anasema anaomba msamaha,na mdada baada ya kumsomea mashtaka yake akatuma sms ya kuomba msamaha.Kuonyesha ni kweli kitu ya muheshimiwa
 
unaposema baba mwenye nyumba una maanisha Baba Bhoke au mzee mwenye nyumba ulipopanga? naona km post yako haina maelezo ainifu juu ya hilo
 
unaposema baba mwenye nyumba una maanisha Baba Bhoke au mzee mwenye nyumba ulipopanga? naona km post yako haina maelezo ainifu juu ya hilo

Inaelekea ni landlord.Amuozeshe tu kwa huyo mzee.
 
Inaelekea ni landlord.Amuozeshe tu kwa huyo mzee.

Kama ni landlord lazima hilo jukumu abebeshwe maana Mama Bhoke wewe ndio mwenye dhamana na huyo binti yako wa kazi kimsingi wewe ndiye mlezi wake, kama ulimtoa kwao basi wazazi wake walikuamini wewe na ukakabidhiwa mwana wao.
 
Bishanga kwanini unasema ni landloard ili hali kasema alijua kutandikiwa na kufuliwa ndiko kunakomkaribisha shetani kumbe hapana, kamgeuka? au hujaelewa? soma vizuri hapo juu
 
Last edited by a moderator:
. Nilidhani ukisafishiwa chumba na kutandikiwa kitanda ndio kunakuwa na usaliti kumbe laa.Nikitoka kazini nafanya kazi za nyumbani kama kawaida lakini mwenzangu bado amenigeuka naomba ushauri jf.

maelezo yako wazi kwamba mumewe ndiyo kamsaliti
 
Mwenzenu yamenikuta,house girl ame test urine 4 pregnancy nimetoka kazini ananiuliza ikiwa hivi majibu ni nini.Kuangalia majibu yenyewe positive kuonyesha kuwa ana mimba.
Kumbana amtaje aliemuwezesha hataki.
Ikanilazimu nijifanye upande wake nataka kumsaidia ila lengo kuu ni kumjua mhusika,nimefanya tafiti nimegundua hata tukienda kazini huwa hatoki wala hakuna mtu anaeingia ndani.Nimemwambia mpigie simu mhusika umwambie kuhusu hiyo mimba,nimerudi kazini nimepekua sim nimekuta namba iliyopagwa ni ya baba mwenye nyumba.Nilidhani ukisafishiwa chumba na kutandikiwa kitanda ndio kunakuwa na usaliti kumbe laa.Nikitoka kazini nafanya kazi za nyumbani kama kawaida lakini mwenzangu bado amenigeuka naomba ushauri jf.[/QUOTE]

hapo kwenye red, huyu ni baba bhoke, kwanza pole sana. Pili ushauri utakaopata humu unaweza usifikie unapotakiwa kwani ni ngumu sana kuvaa viatu vyako to such extent. Ila soma na utatue kadiri moyo wako unavyokutuma.

kwanza kabisa kama wanao ni wadogo usiyaseme haya mbele yao, but kama ni wakubwa kwamba mnaweza kushauriana seek advice from them also.

Usimwogope mumeo toka naye nenda naye outing mwambie kila kitu kwa upole na upendo, hadi ajue kosa lake na ajue kuwa sasa anao wakati mgumu. Kisha muulize yeye kama baba anaamua nini?
msikilize ndipo wewe uje na solutio kuwa unashauri huyu binti akae hadi ajifungue kisha ndipo aondoke akiwa na mtoto wake, kwanini nasema hivi ili uweze kumsoma mumeo kwa muda huu ambao binti yupo ata kuwa anaact vipi kwako. Tena uwe na moyo mkuu wala usikasirike kwani tayari kesha zini na kuzaa ndiko huko.

mweleze binti kuwa atabaki hapo ndani kama mdada wa kazi, na atafanya kazi kama kawaida wewe utasidia ajifungue akisha zaa ataondoka tu. yaweke yawe na usiri hivi ili kuweza kumsoma mumeo vizuri manake napata picha ywezekana ana na kwingine anaharibu wewe hujajua tu so ili umkamate lazima utumie tekniki ya upole na busara zaid.

usishirikishe ndugu kwanza, ila akishazaliwa mtoto waambiwe kabisa ili huyo mtoto asije akakosa matunzo na kuangukia kuwa chokoraa nafsi ikakusuta.
Binafsi nimeumia sana ila mwombe sana mungu akupe hekima na akutangulie katika hili. Mumeo kesha kosea ma dia na kama hakuna ugomv msiachane
 
hakuna mjadala mwamshe kesho saa tisa afunge mizigo yake huku ukimsimamia, saa kumi na moja asubuhi mpandishe bus arudi kwao.

Rudi nyumbani dili na mumeo....

Kama kuna shamba boy jipoozee nae loh.....(joke)


kabla hamjaweka wasichana wa kazi majumbani chunguzeni tabia za waume zenu....kama macho juu juu hawachagui hawabagui, na hawadhamini ndoa zao... Muajiri vijana wa kiume kwa kazi za usafi ukizingatia ni wapishi wazuri tu kushinda wanawake....



Ila kama mimba ya baba mwenye nyumba yako, chukua simu kama kidhibiti, fungasheni mizigo ya huyo binti then mumpeleke kwa baba mwenye nyumba, amtunze na kumuoa......akikataa husisheni ustawi wa jamii
 
Pole sana kwa mkasa uliokupata.
Hapo muondoe tu huyo kwa kumrudisha kwao.
 
pole sana mwanajamii navyo hona hapo mfate baba mwenye nyumba mwambie issue nzima alafu msikilize na huyo mfanyakaz wako muondoee hapo kwako maana hutakiwi kulipa baya wewe fanya jema muombee mungu hakuna njia nyingine ndio ishakuwa hvyo tayarkwa upande wangu ndio hayo tu pole sana.[/QUO

nimemuuliza hata kataa yake haina nguvu.Ila eti anasema anaomba msamaha,na mdada baada ya kumsomea mashtaka yake akatuma sms ya kuomba msamaha.Kuonyesha ni kweli kitu ya muheshimiwa
kaa na mumeo mzungumze juu ya hili swala-then muangalie ni nini mnaweza fanya kumsaidia huyo house gal na kumaliza hilo tatzo
 
house girl anajiandaa kuwa nyumba kubwa hapo... shtuka!
 
pole sana mwanajamii navyo hona hapo mfate baba mwenye nyumba mwambie issue nzima alafu msikilize na huyo mfanyakaz wako muondoee hapo kwako maana hutakiwi kulipa baya wewe fanya jema muombee mungu hakuna njia nyingine ndio ishakuwa hvyo tayarkwa upande wangu ndio hayo tu pole sana.[/QUO

nimemuuliza hata kataa yake haina nguvu.Ila eti anasema anaomba msamaha,na mdada baada ya kumsomea mashtaka yake akatuma sms ya kuomba msamaha.Kuonyesha ni kweli kitu ya muheshimiwa

rudisha huyo msichana kwao, ajiri houseboy...hiyo ndo dawa ya mume mzinzi.....
 
ukimfukuza huyo msichana nitaamini kweli 'wanawake makatili' na ma 'selfish sana'

angekuwa ni binti wa ndugu yako je??
binti yako?
au mdogo wako wa damu?

mumeo ni 'bazazi' full stop
tena ni 'mtu hatarishi' kwani hatumii hata kinga
sasa jiulize na huko nje 'anawapitia wangapi'?

ningekuona wa maana mno kama ungem 'dirvoce mumeo' na kumsaidia huyo binti wa watu
ambae probably 'amebakwa' na mumeo bazazi....
 
ukimfukuza huyo msichana nitaamini kweli 'wanawake makatili' na ma 'selfish sana'

angekuwa ni binti wa ndugu yako je??
binti yako?
au mdogo wako wa damu?

mumeo ni 'bazazi' full stop
tena ni 'mtu hatarishi' kwani hatumii hata kinga
sasa jiulize na huko nje 'anawapitia wangapi'?

ningekuona wa maana mno kama ungem 'dirvoce mumeo' na kumsaidia huyo binti wa watu
ambae probably 'amebakwa' na mumeo bazazi....

the boss, kama housegirl alibakwa kwa nini asingemwambia mama mwenye nyumba? Kwa nini atume msg ya kuomba msamaha?

Ukiachilia mbali ubazazi wa mume, unajua mahousegirl wa siku hizi wanatime hizo golden chance za kulala na fazahausi? Wakiamini watachukua nafasi ya mke?
Sasa ukikuta mume kicheche matokeo yake ndo hayo.....

Hapo mume na hg wote wana makosa.....

Walllahi wanaume wengine balaa, unaweza kuwakata naniliu hivi hivi.......
 
Back
Top Bottom