Naomba ushauri

Naomba ushauri

Amosk

Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
50
Reaction score
8
Jamani naombeni ushauri na mawazo. Tatizo langu naweza nika maliza siku 2 bila ya kwenda haja kubwa, cha ajabu naweza nikawa najisikia kabisa kwenda kujisaidi lakini nikifika msalani naishia kupumua au kujisaidia haja kidogo, sijui tatizo nn naombeni ushauri jaman hii hali inanitisha sn.
 
Back
Top Bottom