Je kupungua kwa homoni ya Gonadotropin kunaweza kusababisha mwanamke asipate mimba? ! Rafiki yangu amekaa na mke wake zaidi ya miezi 5 bila kupata mtoto baada ya kwenda kupima wote wawili dkt akasema kwamba mwanamke anaupungufu wa hiyo homoni!! Je hili tatizo linaweza kutibika? Msaada kwa kiswahili plz wadau