Hello Dk. Pole na majukumu ya kuelimisha jamii. Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 29, nilijifungua mtoto na kuweza kutumia njia ya uzazi ambayo ni njiti ya muda wa miaka mitatu, lakini nilikaa nayo kwa muda wa miaka miwili na kuweza kuitoa, lakini baada ya kuitoa yapata miezi tisa sijaona siku zangu, Naomba unisaidie kutatua tatizo hilo au unishauri nitumie dawa gani ili niweze kupata siku zangu.
ahsante.
ahsante.