Naomba ushauri

SIONI MBELE

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
19
Reaction score
5
Wataalamu wa madawa hii dawa inanichosha, kila siku kidonge kimoja, natamani sana bia. Je haina shiidaaah
 

Attachments

  • 1430401922431.jpg
    37.5 KB · Views: 112
Hiyo ni anti-acids, bila shaka una tatizo la vidonda vya tumbo.

Kazi yake ni ku-neutralize acid tumboni .

Kwa kifupi haishairiwi kuchanganya dawa na pombe.

Na hiyo dawa ni ya kutumia muda mrefu.

Sikushauri uchanganye dawa yoyote na pombe, kuna kitu kinaitwa Disulfiram like reaction ikikupata ni mbaya.
 
Yap tatizo la vidonda vya tumbo, nilianza na hii week 2, ndio nimeanza hiyo...
 

Attachments

  • 1430404637002.jpg
    24.3 KB · Views: 90
Wataalamu wa madawa hii dawa inanichosha, kila siku kidonge kimoja, natamani sana bia. Je haina shiidaaah

Tatizo lako unatibiwa matokeo ya unywaji wako then wataka kurudia teeeena huko huko wagonjwa kama nyie huwa nafukuza ofisin kwangu.... unatibiwa vidonda vya tumbo (peptic ulcers, PUD) unywaji wa pombe ni predisposing factor kwa PUD.... just choose kunywa dawa au urudie pombe zako bye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…