Naomba ushauri

Naomba ushauri

Prover

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
26
Reaction score
0
Habari wana JF Mini ni mjasiriamali nilianzisha shule na kufanikiwa kuyisajili BRELA na MoVET kwa sasa ina walimu 5 na watoto 100 kuanzia awali hadi la 5 shule ina eneo la acres 6 inje ya mpaka wa mji kawa mita 200 tu panapitika mwaka mzima . Kutokana na kua inje ya eneo la mji pamoja na kua na hati miliki na kulipia kodi kila mwaka sikufanikiwa kupata bank inayoweza kunikopesha gari au fedha tangu nianze pamoja nakua mteja wa NMB .nayo imeleta longolongo nyingi Hivo Nahitaji kupata gari la kubeba watoto. Je kuna kampun
 
Sio lazima hadi uwe na gari ya kumiliki mwenyewe.
Nakushauri utafute haya macosta muelewane bei asubuhi yawe yanaleta wanafunzi halafu ndio yaendelee na ruti zao. Huwa naona mbezi kuna macosta na madsm yanafanya hivyo.
Nafikiri itakusaidia kupunguza gharama za services.
Hongera kwa kuwekeza.
 
sio lazima hadi uwe na gari ya kumiliki mwenyewe.
Nakushauri utafute haya macosta muelewane bei asubuhi yawe yanaleta wanafunzi halafu ndio yaendelee na ruti zao. Huwa naona mbezi kuna macosta na madsm yanafanya hivyo.
Nafikiri itakusaidia kupunguza gharama za services.
Hongera kwa kuwekeza.

nashukuru kwa ushauri ila mbulu hamna coaster za town trip wala hatuna hiace za town trip
 
sasa unataka kampuni ya kubeba watoto au kampuni ya kukupatia gari?
 
big up kwa huo uwekezaji tena wa kunoa akili za watu. kuna benk inaitwa access bank, siyo lazima uwe mteja, cha muhimu ni hizo assets zako na uwezekano wa wewe kulipa deni baada ya kufanyiwa assessment. u may also try Azania bank, huwa wanatoa loan. nmb mara nyingi huwa n wazushi kiasi. pole kama hizo benk hazina branches huko
 
big up kwa huo uwekezaji tena wa kunoa akili za watu. Kuna benk inaitwa access bank, siyo lazima uwe mteja, cha muhimu ni hizo assets zako na uwezekano wa wewe kulipa deni baada ya kufanyiwa assessment. U may also try azania bank, huwa wanatoa loan. Nmb mara nyingi huwa n wazushi kiasi. Pole kama hizo benk hazina branches huko

mbulu kuna nmb tu ndo maana nataabika. Na bank nillzopita arusha zote kikwazo tu mipaka yao ya kazi
 
usife moyo mkuu, mwanzo mgumu lakini komaa tu na kumuomba mungu naamini utapata suluhisho la tatizo hilo muda si mrefu.
 
usife moyo mkuu, mwanzo mgumu lakini komaa tu na kumuomba mungu naamini utapata suluhisho la tatizo hilo muda si mrefu.

asante sana kwa kunitia moyo tushirikiane maombi na mungu akubariki
 
jaribu kuongea na wafanyabiashara wa hiace au coaster ukaingia nao mkataba ukawa unawalipa baada ya kukusanya nauli kwa wanafuzni kwa mwezi mwezi kama inalipa watu wataingia nawe deal na kama hailipi basi jaribu kuitisha hata Harambee ya wazazi wanaweza kukuchangia ili watoto wao waweze kupata huduma hiyo ya usafiri kwa makubaliano kuwa mwanzo utawatoza nauli kidogo kwa kipindi cha mwaka kisha baada ya hapo unaweka rate inayokidhi gharama halisi za uendeshaji
 
unahitaji kubeba wanafunzi wangapi kwa kutwa,je umbali gani unatarajia gari litatembea kwa kutwa.kuna uwezekano wa kufanya makubaliano na mtu mwenye daladala mkakubaliana akakupa gari,kwa kukodisha ila mafuta unaweka wewe pamoja na service ndogondogo,
2.NMB huwa hawatoi mikopo ya magari.wanatoa mikopo ya bishara e.g upanuzi wa biashara,machine etc.unachoweza kufanya ni ku-redesing bizness plan yako,alafu unachota kiasi kwa ajili ya kununua usafiri huo wa watoto.
Je mbulu wazazi wanaweza kulipa/kuchangia kiasi gani kwa usafiri wa watoto wao?
 
unahitaji kubeba wanafunzi wangapi kwa kutwa,je umbali gani unatarajia gari litatembea kwa kutwa.kuna uwezekano wa kufanya makubaliano na mtu mwenye daladala mkakubaliana akakupa gari,kwa kukodisha ila mafuta unaweka wewe pamoja na service ndogondogo,
2.NMB huwa hawatoi mikopo ya magari.wanatoa mikopo ya bishara e.g upanuzi wa biashara,machine etc.unachoweza kufanya ni ku-redesing bizness plan yako,alafu unachota kiasi kwa ajili ya kununua usafiri huo wa watoto.
kwa siku 50 km na 76 wanahitaji huduma hiyo kwa malipo ya 20000 tshs pia hiyo ya kubadili bzness plan nitajaribu asante kwa ushauri
 
kuna minibus 24 seats nadhani itakufaa ipo dar,you can out source the service.ni pm kwa majadiliano zaidi
 
Back
Top Bottom