Naomba ushaurii, tafadhari mnisaidie

Naomba ushaurii, tafadhari mnisaidie

GARETHBALE

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
76
Reaction score
333
Salam kwa wote,

Wapendwa, nina wazo la kumiliki duka la jumla la vyakula DSM, naomba mwenye uzoefu wa biashara hii, naomba kufahamu vifuatavyo:

Aina ya vyakula vya kuanza navyo na vinahitajika kiasi gani?
Je, biashara hii ina faida nzuri?
Je, biashara hii ina changamoto gani?
Jinsi ya kufanya mahesabu yake, ni kwa namna gani?
Napenda hii biashara ijiendeshe yenyewe, namaanisha nikishaweka vyakula husika, faida iwe inaongeza bidhaa ndani ya duka.

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom