M Mangolo Member Joined Oct 30, 2011 Posts 28 Reaction score 11 Oct 30, 2011 #1 Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri
Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri
M Malila JF-Expert Member Joined Dec 22, 2007 Posts 5,329 Reaction score 5,024 Oct 30, 2011 #2 Mangolo said: Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri Click to expand... Je uliwahi kuwauliza watalaamu wa udongo wa sehemu unakolimia? Mvua vipi zinatosha? Mbegu unayotumia ulipata wapi?
Mangolo said: Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri Click to expand... Je uliwahi kuwauliza watalaamu wa udongo wa sehemu unakolimia? Mvua vipi zinatosha? Mbegu unayotumia ulipata wapi?