naomba utaalam wa kulima alizeti

Mangolo

Member
Joined
Oct 30, 2011
Posts
28
Reaction score
11
Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi
naombeni ushauri
 
Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi
naombeni ushauri

Je uliwahi kuwauliza watalaamu wa udongo wa sehemu unakolimia? Mvua vipi zinatosha? Mbegu unayotumia ulipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…