Jovinnydinho
Member
- Apr 22, 2018
- 29
- 11
Naitwa Hussein Issa Nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu.
Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali.
Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali.