Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya jambo zuri mkuu, Chukua kibali shusha mjengo wako kwa amani.Msaada kwenu ndugu maana saizi sielewi pia uwezo kujenga bila kibali upo lakini shida sitaki kuvunja utaratibu.
MSAADA KWENU
Unafanya jambo zuri mkuu, Chukua kibali shusha mjengo wako kwa amani.Msaada kwenu ndugu maana saizi sielewi pia uwezo kujenga bila kibali upo lakini shida sitaki kuvunja utaratibu.
MSAADA KWENU
Asante ndugu, umenigusa.Ila kama eneo halijapimwa basi utaenda halmashauri idara ya ujenzi watakupa fomu za kujaza, ambazo utatakiwa kwenda kuthibitisha umiliki kwa serikali ya mtaa husika. Kisha utaendelea na utaratibu nilioueleza hapo juu.
Note: kunaweza kuwa na viutaratibu vya nyongeza kwenye baadhi ya halmashauri
Mkuu, mim nina kiwanja changu 17-13 tyr kimepimwa na nimeshazungukwa na makaz je natakiwa kutafuta kibali cha halmashaur kwaajil ya kufanya ujenz? Msaada pleaseUnafanya jambo zuri mkuu, Chukua kibali shusha mjengo wako kwa amani.
Ni kwamba taratibu zinategemeana na kama sehemu unayojenga imepimwa au haijapimwa.
Kwa maeneo yaliyopimwa, Utaratibu ni kuandika barua ya maombi kwa mkurugenzi wa halmashauri husika ambayo pia unaambatanisha na nyaraka zako za umiliki wa kiwanja pamoja na michoro/ramani za jengo husika. Sasa kwakua wewe unajenga nyumba ya kawaida utahitaji seti tatu za michoro (architectural drawings) ila kwa wanaojenga maghorofa huwa kuna ongezeko la seti mbili za michoro (structural drawings).
Michoro yote ni lazima iwe na mihuri ya wataalamu walio sanifu. Huwa kuna gharama unalipia ambazo zinategemeana na ukubwa wa jengo kwenye kiwanja, kila halmashauri wana gharama zao.
Ila kama eneo halijapimwa basi utaenda halmashauri idara ya ujenzi watakupa fomu za kujaza, ambazo utatakiwa kwenda kuthibitisha umiliki kwa serikali ya mtaa husika. Kisha utaendelea na utaratibu nilioueleza hapo juu.
Note: kunaweza kuwa na viutaratibu vya nyongeza kwenye baadhi ya halmashauri
Ndio boss ni lazima na jamaa kwa baadhi ya halmashauri ni kama wameanza kukaza sana saivi. Wewe nenda halmashauri utapewa walau taratibu za eneo husika kabla haujaanza ujenzi, vingivevyo kuna watu wengi nyumba zao zitageuzwa chakula ya wahusika wa halmashauri.Mkuu, mim nina kiwanja changu 17-13 tyr kimepimwa na nimeshazungukwa na makaz je natakiwa kutafuta kibali cha halmashaur kwaajil ya kufanya ujenz? Msaada please
Sio maeneo yote. Kwa Dodoma building permits zinatoka baada ya wiki 3-4.Natumae mleta mada umepata muongozo...
Building permit, hua zinacheleweshwa sana...
Unaweza anza kujenga, mpaka unamaliza, unahamia, unaishi miaka kadhaa na kibali bado hakijatoka...
Cc: mahondaw