Naomba uzoefu kwa wanaolima Bariadi

yusto michael

Member
Joined
Oct 1, 2019
Posts
10
Reaction score
6
Wakuu habari,

Mimi ni mmoja wa watu wanaovutiwa sana na kilimo na natamani sana siku moja niwe mkulima wa mfano; ombi langu kwenu kama kuna mtu humu analimia Bariadi mto simiyu namba anipe uzoefu wa upatikanaji wa mashamba ya kando kando ya mto.

Mimi ninapatikana Mwanza. Ninatanguliza shukrani.
 
Kule kuna walozi sana kama na ww uko vizuri nenda kawekeze kama immunity huna tafuta mahali pengine, maana wale sio kwamba wanaloga mazao tu hadi wewe wanakuloga

sina ham nao washenzi wale
 
Samahani mkuu ulikuwa umelimiako
kule kuna walozi sana kama na ww uko vizuri nenda kawekeze kama immunity huna tafuta mahali pengine, maana wale sio kwamba wanaloga mazao tu hadi wewe wanakuloga

sina ham nao washenzi wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…