BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Bei ya mafuta inazidi kuwa mtihani,naomba mzoefu anisaidie yafuatayo;
1.Gharama za kuweka.
2.Gharama ya gesi kwa kilometer mija.
3.Nguvu ya gari.
4.Mafundi wa kuweka mfumo.
5.Vituo vya kujazia.
Asante
NB: Admin usiunganishe uzi huu,hili suala ni nyeti.
1.Gharama za kuweka.
2.Gharama ya gesi kwa kilometer mija.
3.Nguvu ya gari.
4.Mafundi wa kuweka mfumo.
5.Vituo vya kujazia.
Asante
NB: Admin usiunganishe uzi huu,hili suala ni nyeti.