BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Mimi nilifungiwa DIT wao ni 1.8MMilioni moja na laki tatu nenda ubungo maziwa pale africanpanorama kuna mafundi hapo hapo na gass unajaziwa yani hiyo bei ni pamoja na ufundi (labda bei iwe imepanda kwa sasa)
Usijaribu kufunga hii kitu,nimemaliza, tusubiri wakina Tomaso waje na ushuudaBei ya mafuta inazidi kuwa mtihani,naomba mzoefu anisaidie yafuatayo;
1.Gharama za kuweka.
2.Gharama ya gesi kwa kilometer mija.
3.Nguvu ya gari.
4.Mafundi wa kuweka mfumo.
5.Vituo vya kujazia.
Asante
NB: Admin usiunganishe uzi huu,hili suala ni nyeti.
Si utuambie kuhusu hayo madhara?,kua wazi buanaUsijaribu kufunga hii kitu,nimemaliza, tusubiri wakina Tomaso waje na ushuuda
Kuna offer tunajaza gesi bure mwaka mzimaBei ya mafuta inazidi kuwa mtihani,naomba mzoefu anisaidie yafuatayo;
1.Gharama za kuweka.
2.Gharama ya gesi kwa kilometer mija.
3.Nguvu ya gari.
4.Mafundi wa kuweka mfumo.
5.Vituo vya kujazia.
Asante
NB: Admin usiunganishe uzi huu,hili suala ni nyeti.