Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 441
- 1,065
Habari wana jukwaa,
Naomba msaada kwa aliyewahi kutumia mbegu za mahindi hizi zinazouzwa madukani na akapata matokoea mazuri kwa ardhi ya Morogoro hasa maeneo ya mashamba ya Ngerengere na Kiegeya (Manispaa)
Pia naomba kufahamu timing ya tarehe nzuri za kupanda zao la mahindi katika maeneo hayo
Asanteni [emoji120]
Naomba msaada kwa aliyewahi kutumia mbegu za mahindi hizi zinazouzwa madukani na akapata matokoea mazuri kwa ardhi ya Morogoro hasa maeneo ya mashamba ya Ngerengere na Kiegeya (Manispaa)
Pia naomba kufahamu timing ya tarehe nzuri za kupanda zao la mahindi katika maeneo hayo
Asanteni [emoji120]