Naomba uzoefu wa ufugaji nyuki na uuzaji asali

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Nimeifikiria sana hii biashara ila sijui pa kuanzia!

Lengo ni kufuga nyuki na kuuza asali, mwenye uzoefu tafadhali toa mwanga kwenye faida na changamoto za hii biashara!
 
Nimeifikiria sana hii biashara ila sijui pa kuanzia!

Lengo ni kufuga nyuki na kuuza asali, mwenye uzoefu tafadhali toa mwanga kwenye faida na changamoto za hii biashara!
Ukikosa kabisaaaa msaada niambie nikuunganishe na wadau wa BEVAC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…