Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 7, 2022 #21 Natumae mleta mada ulipata muongozo...
Clark boots JF-Expert Member Joined Jun 5, 2017 Posts 6,770 Reaction score 6,202 May 7, 2022 Thread starter #22 Kunguru wa Manzese said: Hongera kiongozi Click to expand... Umeitwa usahili wa kazi gani mkuu..?
Clark boots JF-Expert Member Joined Jun 5, 2017 Posts 6,770 Reaction score 6,202 May 8, 2022 Thread starter #23 isco francisco said: HR Tanzania Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Crypto t.me jiungeni huku Click to expand... We jamaa naomba mods wakupige ban yaan unaniudhi kweli qyumamaqe na Hii link yako Kila Uzi unaiweka..
isco francisco said: HR Tanzania Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Crypto t.me jiungeni huku Click to expand... We jamaa naomba mods wakupige ban yaan unaniudhi kweli qyumamaqe na Hii link yako Kila Uzi unaiweka..
M Mwanafunzi huru Member Joined Jan 7, 2023 Posts 79 Reaction score 80 Sep 10, 2023 #24 expedition said: Afisa wanyama pori Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app Click to expand... Tupe uzoefu ,mkuu ktk usaili wake ukoje
expedition said: Afisa wanyama pori Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app Click to expand... Tupe uzoefu ,mkuu ktk usaili wake ukoje
Mpatuka JF-Expert Member Joined Nov 15, 2015 Posts 2,261 Reaction score 3,580 Sep 10, 2023 #25 Mtoa mada ulifanikiwa kulamba asali au uliangukia pua?