Naomba Uzoefu wenu, Umekutana na rafiki yako wa kiume wa zamani, Moyo unapasuka paaaaah

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
2012 chaguo lako dunia yako: chagua kufuata hisia zako, chagua kuwa mwenye furaha.
 
kwa nini unahisi mimi wakati kuna member kashakwambia ndio yeye?

We mamaya acha kunizingua bwana....kwanza hunishauri nifanyeje ili nisiendelee kupasuka....unaniuliza uliza maswali tu. Toka zako bwana.
 
mshiki kule fb hakuna uhuru kama hapa jf,hawezi kufunguka kule,mwache afunguke hapa apunguze msongo.

DUh haya bwana, iendeleze thread basi, nikija unipe majibu. Sawa Uncle?
 
mdogo wangu ogopa sana wanaume hapo yawezekana anapelekwa na tamaa tu ana mtu tayari cha kufanya piga moyo konde upate muda wa kumuchunguza tabia yake kwa sasa hawezi kwenda mazima kama anakupenda. kama ni tamaa tu lazima ataenda mazima we kutana nae jitahidi kuficha hisia zako we ni mtoto wa kike. muweke wazi kama ana nia na wewe lazima utaona dalili kuliko ufunguke alafu baadae alale mbele utaumia sana mdogo wangu
 
Reactions: LD
We mamaya acha kunizingua bwana....kwanza hunishauri nifanyeje ili nisiendelee kupasuka....unaniuliza uliza maswali tu. Toka zako bwana.

Msisitizo kumbushia style zote za zamani ya kale ni dhahabu msisitizo
 
Reactions: LD
mkuu ile kitu haina makombo,note hivyo mkuu,hata kama ni used vp.

Najua haiishiwi utamu.Lakini si unajua utamu wenyewe inategemea pysycology umeiwekaje.Lakini pia binti anavyokuja kasi..unafikiri jambo la kwanza kulifanya si ndio hilo...ukaguzi
 
Reactions: LD
Najua haiishiwi utamu.Lakini si unajua utamu wenyewe inategemea pysycology umeiwekaje.Lakini pia binti anavyokuja kasi..unafikiri jambo la kwanza kulifanya si ndio hilo...ukaguzi

Duhh unakagua kama imetoka kutumika au ilikuwa inatumika?
 
Reactions: LD
Duhh unakagua kama imetoka kutumika au ilikuwa inatumika?

Kama ni over used ili afanye depreciation...kwa sababu maintanance cost itakuwa kubwa.Kama hata maintanance haitoshi anai-dump
 
nimependa ulivoandika unaonekana ni muadilifu sana na unajali hisia za watu..............thats cool i like that
 
Kama ni over used ili afanye depreciation...kwa sababu maintanance cost itakuwa kubwa.Kama hata maintanance haitoshi anai-dump

Kuna jamaa angu anauza sabuni za kurudisha heshima ya ndoa mwanamke akitumia hiyo kitu kinasinyaa kabisa
 
nimependa ulivoandika unaonekana ni muadilifu sana na unajali hisia za watu..............thats cool i like that

Na mm nimependa sana ulivyo comment inaonyesha wewe mwanamke mwema sana
 
hakuna ushauri katika hii level uliyofikia, mapenzi huwa yanashaurika pale yanpokuwa yameleta matokeo yasiyotalajiwa na mmoja wapo. Kwa sasa you are on your own, deep down hata wewe unjua hilo. Ila ukija kichwa mikono nyuma i will be there for u..
 
Reactions: LD

....lol, hebu sema na moyo wako bana....
hii mioyo mingine vipi lakini, imekuwa kama jiko la mchina!
Wangu mie kama jiko la kuni, puliza puliza na wewe sishtuki ng'o!
 
Reactions: LD
....lol, hebu sema na moyo wako bana....
hii mioyo mingine vipi lakini, imekuwa kama jiko la mchina!
Wangu mie kama jiko la kuni, puliza puliza na wewe sishtuki ng'o!

ha ha ha Mbu mzee....nilitegemea kupata bunge la nasaha.

Hapa nachoona ni kuchukua uhauri wa baadhi ya watu hapa...halafu naanza Novena siku Tisa. Nafunga nakuomba juu ya hili.

Hiyo ndhani itakuwa SOLUTION tosha!!!! Na nitapata majibu
 
Reactions: Mbu
Kuna jamaa angu anauza sabuni za kurudisha heshima ya ndoa mwanamke akitumia hiyo kitu kinasinyaa kabisa
Yani kurudisha heshima mpaka umnawishe mwenzi wako na magadi ili K ikakamae halafu umrukie ikiwa kavu?????

wewe kijana sasa naona maisha ya magomeni yamekufanya mbaya!!

Heshima inarudishwa hivi......mamaa apate kila kitu kwa kadiri ya uwezo kwa maana ya material things
HALAFU, apate attention yako vizuri,...wewe jamaa angu unafikiri heshoma inarudishwa kwa kumrukia na kukandamiza masaa sita?

unaweza ukarukia ukakaa mpaka kukakucha, halafu ukiondoka kwenda kibaruani, na yeye anaenda kwa mkunaj wake ambaye akiingiza tu, anakojoa. yani wewe unakuwa ulikuwa unalimia wengine!!!

Coming from experienced, well informed and a dedicated husband.
 

Kwani bro heshima hiyo inavyo rudishwa wewe unashikilikishwa? Anajifanyie yeye mwenyewe ila wewe siku ya kuzama ndo unakuta kugumu kweli mpaka utumie tindo kutitundua
 
ha ha ha Mbu mzee....nilitegemea kupata bunge la nasaha.

Hapa nachoona ni kuchukua uhauri wa baadhi ya watu hapa...halafu naanza Novena siku Tisa. Nafunga nakuomba juu ya hili.

Hiyo ndhani itakuwa SOLUTION tosha!!!! Na nitapata majibu

Lol....nimekupiga dongo
hujakata tamaa tu! ...he he he...

Well, kwakuwa wataka kusikia kusikia +ves pekee...
fuata moyo wako! 2012 dunia ni yako, maamuzi ni yako:eyebrows:
 
Reactions: LD
Aseeee achana na mimama ya magomeni, haijui mapenzi.

Hebu msaidie LD hapa ili akumbushie vizuri zaidi
 
Reactions: LD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…