Naomba Uzoefu wenu, Umekutana na rafiki yako wa kiume wa zamani, Moyo unapasuka paaaaah

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
Mpe uchi kwanza ili uangalie viwangovyake,usije ukashangaa kumbe jamaa mkamerun,si unajua mambo ya kusoma nje!!
 
Lol....nimekupiga dongo
hujakata tamaa tu! ...he he he...

Well, kwakuwa wataka kusikia kusikia +ves pekee...
fuata moyo wako! 2012 dunia ni yako, maamuzi ni yako:eyebrows:

Mmmh Mbu hatimaye Moyo umegeuka kuwa kuni Mbichi. Unatoa moshi tu. Hata hauwaki 🙂
 
Reactions: Mbu
Mpe uchi kwanza ili uangalie viwangovyake,usije ukashangaa kumbe jamaa mkamerun,si unajua mambo ya kusoma nje!!

Duh......hivi na hili linaweza kuwa eeh?
 
Hebu ni-PM nikufundishe jinsi ya kumbana kwenye angle aje ku-propose na kitu cha tanzanite hapa! yaani unamjua toka mtoto afu unamuogopa?
Afu huo moyo wako tunaufunga kwanza na kamba ya ng'ombe ya katani ile, manake unatakiwa ufunguke kwa stepu kama banana, sawa dada?
 
Reactions: LD
Mpe uchi kwanza ili uangalie viwangovyake,usije ukashangaa kumbe jamaa mkamerun,si unajua mambo ya kusoma nje!!

Come again.. waliosoma nje? on the other hand i second you kujua viwango vyake lol. .
 
Reactions: LD
Hata ukifunguka nahisi uhusiano utakuwa wa muda mfupi tu!
 
Reactions: LD
Sasa ndio tumeonana tena.
Hapa vipi LD, vidole viliteleza au ndio mmeshaonana kweli?
Ninachopenda kukusahuri kama mwanamume, ni hivi - endelea pale ulipoacha, enzi za barua za marashi na kopa lililochomwa mkuki; lakini usipige hatua hata moja mbele baada ya hapo. Umeeleza wasiwasi wako ni kuwa usije kulizwa, kwa hivyo kama unaliogopa hilo, zuwia kamba. Hata kama yeye atafunguka kwako, "wewe usifunguke"kirahisi. Give time to time, if he destined to be yours, he'll be.

Moyo umenipasuka paaaaaaaah! nilipoona umerudi. Karibu tena Eliza [wa Tegeta]

umalaya by nature
Marytina, ndio nini tena hii, Dear?

Mpe uchi kwanza
Songoro, hii lugha sio pahali pake hapa. Heshima kitu cha bure.
 
Reactions: LD

hapo kwenye red ndo patakapo kuponza.
 
Reactions: LD
Hapa vipi LD, vidole viliteleza au ndio mmeshaonana kweli?
.

Ni kweli tumeshaonana MAMMAMIA....yani sasa kwa kumuona si ndio moyo ukaanza kupasuka?

Ha ha ha huo wako usipasuke bwana...mie nipo sema nimekuwa msomaji zaidi siku hizi.
 
maana yake mkafungue ule ukurasa ambao hamkuufungua........

Ila ukiingia kichwa kichwa ita -eat kwako......
 
Reactions: LD
Tii kiu yako. Haya maisha mafupi sana!
Akisepa baadae hatakua wa kwanza nafikiri.
BTW hapa katikati hakuna mengine yaliyoendelea na yanayoendelea upande wako, kuna vitu umeruka ktk maelezo yako.
 
Reactions: LD
HP, Umelonga

Ukienda mbio unaweza JERUHIWA UKAJUTA

Jipe Muda , Muulize na MUNGU wako ili kukiwa na Kibali juu ya hili ufarijike
 
Reactions: LD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…