Naomba vifaa vinavyohitajila kuanzisha gereji

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Nataka kuanzisha gereji ya chini ya mti/mwembe. Nahitaji kuwa na vitu gani vya kuanzia?
 
Nataka kuanzisha gereji ya chini ya mwembe/mti
Natakiwa niwe na vitu gani vya muhimu
 
Kitambulisho cha ujasiriamali 20000
 
Ungesema una sh ngapi ungerahisisha kwa wachangiaji kukushauri.
 
Hongera kwa kutaka kuthubutu! But watu wanapaki magari wewe unataka kuanzisha garage?? [emoji2], Hii ndio inaitwa inversely proportion..
 
Huwezi sema tu nataka nyumba inahitajika sh ngapi? Sema nina milioni kadhaa naweza pata nyumba ya aina gani au ya namna gani kuendana na bajeti yangu.
 
Cha kwanza wewe mwenyewe una ujuzi wa mambo ya gereji?
Swali zuri. Nadhani hana. Angekuwa nao asingeuliza. Kosa kubwa anataka kufanya. Kuanzisha biashara asiyo na clue yoyote inaendeshwaje na soko lake likoje.
 
Hongera kwa kutaka kuthubutu! But watu wanapaki magari wewe unataka kuanzisha garage?? [emoji2], Hii ndio inaitwa inversely proportion..
Hii biashara inafanyika ila inategemea ataweka location gani?
Kama ataweka ktk maeneo karibu na barabara au stendi atapata wateja ila akiiweka mtaani au uswahilini ni ngumu sana kutoboa.
 
hapa ndo wengi tunafeli biashara, jambo la msingi kabisa ukitaka kuanzisha biashara hakikisha unauzoefu nayo na unaijua vizuri.
Fanya kitu ambacho upo familia nacho mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…