Naomba wajuvi mnipe specs za Audi Q7 na Subaru Forester XT eye site.

Naomba wajuvi mnipe specs za Audi Q7 na Subaru Forester XT eye site.

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,050
Reaction score
5,204
Nmeziona hizo gari sokoni lkn hiyo Audi ni cc3000 ikanitisha.Subaru ni cc 1900.Sasa naomba kujua ni ipi gari bora kati ya hizo ktk:
1.utumiaji wa mafuta
2 perfomance ya injini ktk barabara ya lami na vumbi.
3.uimara na spea.
4.Ni nini tofaut kati ya matoleo ya Audi series ya A na Q.
Mwisho kama mtu ana mfuko mzuri unashauri achukue gari ipi kati ya hizo.
 
Back
Top Bottom