Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 1.5M

Uza matunda, kuna dogo mmoja nilimpa mtaji anajitegemea
Ungeishia tu hapo kwenye Uza Matunda ingetosha ila huko kwingine kulikuwa hakuna haja ya Kujimwambafai nako kwani hatuna uhakika kama ni kweli au uwongo na unatafuta tu Kiki / Sifa hapa JamiiForums ambapo Watu wengi hamtaki kusema mna Maisha ya kawaida badala yake kila Mtu anasema Yeye ni Mambo safi tu.
 
Hivi nyie Watu wa FLP bado tu hamjaacha Kuwadanganya na Kuwatapeli Watanzania ambao ndiyo Kwana na wao wanaanza Kujitafuta Kimaisha?
 
Nimefungua kampuni ya Office machine suppplies and their accessories naomba ushauli Ili nipate wateja zaidi
Mtafute Mganga Hatari wa Yanga SC yule wa Lindi aishiye Mbagala (ambaye pia ni Mjomba wake Kiongozi mkubwa Simba SC) au yule Dada wa Kiromo Bagamoyo anayeroga vizuri akiwa katika Periods zake utapata Wateja hadi utawachoka sawa?
 
Mawazo ya kimasikini hayo wote waliofqnyq au kufanya ujinga wa forever wanaishi maisha magumu sana ninao wajuawako wanne nikama ina liana
Uko sahihi 100% Mkuu.
 
Kaa mbali kabisa na huu ushauri. Utapasuka
 
Million 1.5 stationary?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…