ngodasteven30
New Member
- Aug 4, 2024
- 1
- 3
Ndugu zangu hapa nilipo na mtaji wa laki saba na nipo Arusha.
Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya internet cafe ila nikiangalia kwa biashara hii mtaji ni mdogo.
Nilikuwa naomba wazo la biashara la mtaji wa laki saba ili niweze kuzungusha hela.
Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya internet cafe ila nikiangalia kwa biashara hii mtaji ni mdogo.
Nilikuwa naomba wazo la biashara la mtaji wa laki saba ili niweze kuzungusha hela.