Naomba wazo la biashara Tabora kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2.5

Naomba wazo la biashara Tabora kwa mtaji wa Tsh. Milioni 2.5

Fanya utafiti kwanza biashara unayotaka kufanya? tambua uwezo wako kwanza ingia kwenye game ili ujifunze na ujue uhalisia..
 
Exciting Opportunity Alert! We're on the hunt for a visionary business partner to join our team and take our company to the next level! As a forward-thinking entrepreneur with a passion for innovation, you'll bring fresh ideas and expertise to help us drive growth and success. If you're looking for a collaborative environment that fosters creativity and mutual respect, let's connect! Send me a message or comment below with your background, interests, and what you're looking for in a partnership. Let's create something amazing together!
#businesspartner #entrepreneur #growth #innovationView attachment Business Partner.png
 
Sikushauri biashara ya madini.....

Nakushauri biashara zifuatazo.
1. Biashara ya tumbaku
2. Biashara ya uwakala
3. Biashara ya chakula mama/baba lishe

Kila biashara apo juu ina risks zake....kuwa makini,fanya research kwanza kabla ya kuweka mtaji mezani.
 
Mawazo ya biashara yanaafaa mkiwa bar mnasindikiza moja moto moja baridiii huku totoz zenye mswambwada zikiwa pembeni 😀😀
 
Sikushauri biashara ya madini.....

Nakushauri biashara zifuatazo.
1. Biashara ya tumbaku
2. Biashara ya uwakala
3. Biashara ya chakula mama/baba lishe

Kila biashara apo juu ina risks zake....kuwa makini,fanya research kwanza kabla ya kuweka mtaji mezani.
Hii ya tumbaku imekaaje mkuu?
 
Sikushauri biashara ya madini.....

Nakushauri biashara zifuatazo.
1. Biashara ya tumbaku
2. Biashara ya uwakala
3. Biashara ya chakula mama/baba lishe

Kila biashara apo juu ina risks zake....kuwa makini,fanya research kwanza kabla ya kuweka mtaji mezani.
Asante sana mkuu.
 
Hi
Nlikuwa nafikiria nipate location niweke banda la chips, au Mgahawa .Ingekuwa poa lakn napokea ideas za

Nlikuwa nafikiria nipate location niweke banda la chips, au Mgahawa .Ingekuwa poa lakn napokea ideas zaidi.
Hii idea ndyo ya kufanyia kazi hizo zingine achana nazo ila jitahidi sana utafute location nzuri yenye muingiliano wa watu wengi
 
Back
Top Bottom