Naomba wazo la biashara wandugu

Naomba wazo la biashara wandugu

ruston8919

Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
68
Reaction score
14
niko chuo kwa sasa iringa, likizo huwa nipo dar mara nyingi na mara kadhaa kilimanjaro. sasa nina kama 1 mil. nataka kufanya biashara yoyote yenye kuendana na mwanachuo kwa maana ya muda, pia nilifikiria kufanya biashara ya nguo ila cjui pa kuanzia, pia nilifikiria kufungua salon, na pia ikishindikana kabisa ninunue hata kakiwanja pembeni ya mji, nawategemea wakubwa.
 
hommie no disrespect.....ur money too short! unaweza kuwauzia vocha wanafunzi wenzio au umalizie ada kama unadeni......otherwise fuata mawazo yako! yaani jaribu tu wazo lako moja...nenda kwenye saloon 2/3 tengeneza mazoea chukua info uone kama inalipa.....then jaribu idea yako.....mara nyingi watu huanza na idea then wanatafuta funda/mtaji.
 
hommie no disrespect.....ur money too short! unaweza kuwauzia vocha wanafunzi wenzio au umalizie ada kama unadeni......otherwise fuata mawazo yako! yaani jaribu tu wazo lako moja...nenda kwenye saloon 2/3 tengeneza mazoea chukua info uone kama inalipa.....then jaribu idea yako.....mara nyingi watu huanza na idea then wanatafuta funda/mtaji.
suala la ada linatoka wap tena kwan nimekwambia nadaiwa ada? anyway thanks
 
Back
Top Bottom