Wakuu nilikuwa naombeni kujuzwa mtu alieambukizwa tb anaanza kuumwa baada ya muda gani.kwani mwaka wa 2011 nilimuuguuza mwanamke niekuwa nae lakin alipona kuna dalili naziona sasa sijui niliambukizwa? maana nilikohoa kwa muda wa wiki 5 pamoja na mafua na homa kidogo halafu nikapona lakini sikutumia dawa ila ya maleria. baada ya wiki moja kupita jana nimeanza kukohoa tena na mafua tena halafu natoka jasho sana sijui ndio kifua kikuu au kawaida. samahanini lakini.