Tuberculin test haioneshi kama mtu ana active tb au ni kwa sababu ya exposure. Most adults in tz watareact to tuberculin test. Kuna dalili ambazo ni KUKOHOA KWA ZAIDI YA WIKI 2, HOMA, KUPUNGUA UZITO GHAFLA, KUVUJA JASHO WAKATI WA KULALA. Hizi dali kama unazo zitamfanya daktari akuandikie vipimo vya kumsupport kukuanzishia matibabu(kumbuka daktari hatibu vipimo vya maabara) na judgement ya kumuanzishia mtu dawa inategemea na hali ya mgonjwa. Kumbuka pia, kwa sera yetu kupima VVU ni lazima kwa mtu yeyote mwenye TB hivyo ujipange.! Teh. Kumbuka pia kila mtanzania ana maambukizi ya tb, tumetofautiana kwenye kuwa full blown tuberculosis, usiogope mkuu.