Naombe ni msaada tafadhalini

utakuja

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
1,033
Reaction score
900
Poleni kwa miangaiko yenu wana JF na pia pressure za kusubiri majibu ya mikopo lakini naomba kuuliza hivi, Heslb kama wakikuchagua kukupa mkopo, lazima uwe na account benki gani ni uwe na NMB, CRDB,NBC au yeyote maana mimi ninayo ya Stanbic ..Ahsanteni
 
BENK yoyote ile unaweza kutumia ila benk nzuri ni ile ambayo heslb wana account yao kwani ndio hela inaingia haraka kuliko wengine
 
Nashukuru sana kwa majibu yenu wakuu ..Majina yakitoka tu na nikibahatika kupata ntafungua account CRDB
 
Yes ni CRDB tumwombe Mungu mambo yaende poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…