Naombeeni ushauri wa kikazi.

F 4 REAL

Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
19
Reaction score
0
Naimani nyote mu bukheri wa afya,bila kupoteza muda mi naomba mnishauri nina diploma ya International relations and diplomacy kutoka pale chuo cha diplomasia kurasini.Then nimemaliza mwaka huu BAED pale chuo kikuu Dar es salaam(UDSM).sasa sielewi hatma yangu kiukweli sipendi kazi ya ualim hasa secondary napenda chuo lakin kwa bahati mbaya naona kazi nying za tutorial assistant wanahitaji GPA ambayo mi imepungua point 1 kufika nimekata tamaa kwakweli.Kama marafiki naombeeni ushauri career yangu iweje na ntafikiaje hayo malengo.Asanteni.
 
pole sana. but better upate experience ya secondary schools ili ufidie hiyo pt 1
 
Mi nakushauri kafanye kazi ya kufundisha sekondari serikalini kisha omba mkopo benki wa pesa itakayo kutosha kulipa ada ya master, ukipata nenda master na utakuwa na vigezo vya kufundisha tutorial chuo
 
Fanya kazi inayotokea,on the way utapata inayoweza kupatia nafasi na hela ya kusoma degree ya juu bila kusumbuliwa na hizo GPA kisha ukaja kuwa katik position ya kucompete na hao unaowaona wana GPA za kutisha leo.

Wapo amarafiki zangu wengi tuu walipata matokeo mabaya njiani ktk form na wengine form 6,na wengine chuo ila kuna waliokuja fanya vizuri mbele zaidi ya waliopita moja kwa moja.Na leo ndio wanawapangia kazi kama si kuwafundisha.

Usipoteze muda fany akazi inayokujia, hata huo ualimu kwa muda si mbaya, ila shule zenye watu wa mataifa mbalimbali ili kujiweka karibu na chances za kujiendeleza, kupata exposure hata za muda mfupi.Shule za kibongo hata mishahara hakuna kwa vile mkurugenzi kanunua prado zitaku frustrate.
 
We acha ujinga wako kwenye mambo ya msingi ya watu kama haya. Kama pesa si uongeze wewe kupitia njia hiyo na uwagawie ndugu na jamaa zako. Unaniudhi sana

Hauko peke yako ndugu, mwenyewe huwa naudhika vibaya mno. Aache ujinga wake, anakera sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…