naisweet
Member
- Mar 26, 2013
- 47
- 9
Habari zenu jaman natumai wazima na afya nzur naomben mnisaidie tatzo langu linanisumbua hii ni wiki ya pili sasa mm silali usiku wala mchana na nakua ninabusingiz sana kias ambacho naumwa na kichwa sana na macho kuniuma na saut kubadilika lkn silal kabisa nahis kma nataka kupagawa kupiga makelele nahis kma nakufa nkifumba tu macho inanijia kma kushtuka hv sura imenibadilika sasa hv nimenunua dawa ndio nazila lkn naogopa zisije kuniletea madhara zinaitwa STILNOX zolpidem naomben ushaur mzizi mkavu nsaidie na wengine nataraji kupata majibu yenu ahsanten