Mimi ni mschana wa miaka 24 nimeishi na mpenzi wangu nna miaka 3.tuna muda wa miezi mi nne hatuelewani.amekua na mambo mengi,kupiga simu mpaka niulize smtymz mara apitishe siku.mm kwa sasa niko mkoa tofauti nae,mara nyingi nikiwa nae nnakuta sms za wadada za mapenz nikimuuliza anakataa.juzi nimepata habari yuko na mdada mmoja ambaye nnliwa kikuta sms zake.namuuliza anakua mkali.nifanyaje jaman nnaumia sana coz nnampenda kiukweli na sintopenda kumpoteza.
Kama hakuheshimu maana yake hakupendi!Achana nae ukapende utakapopendwa usije ukapata presha ya kujitakia!
Tukutane pm nikupe mwarobaini, pole sana!Mimi ni mschana wa miaka 24 nimeishi na mpenzi wangu nna miaka 3.tuna muda wa miezi mi nne hatuelewani.amekua na mambo mengi,kupiga simu mpaka niulize smtymz mara apitishe siku.mm kwa sasa niko mkoa tofauti nae,mara nyingi nikiwa nae nnakuta sms za wadada za mapenz nikimuuliza anakataa.juzi nimepata habari yuko na mdada mmoja ambaye nnliwa kikuta sms zake.namuuliza anakua mkali.nifanyaje jaman nnaumia sana coz nnampenda kiukweli na sintopenda kumpoteza.
Mimi ni mschana wa miaka 24 nimeishi na mpenzi wangu nna miaka 3.tuna muda wa miezi mi nne hatuelewani.amekua na mambo mengi,kupiga simu mpaka niulize smtymz mara apitishe siku.mm kwa sasa niko mkoa tofauti nae,mara nyingi nikiwa nae nnakuta sms za wadada za mapenz nikimuuliza anakataa.juzi nimepata habari yuko na mdada mmoja ambaye nnliwa kikuta sms zake.namuuliza anakua mkali.nifanyaje jaman nnaumia sana coz nnampenda kiukweli na sintopenda kumpoteza.
Kwahiyo mwenzake aunganishe yeye akisubiri???Na huu ndio mwanzo wa kuanza kutengeneza msururu wa wapenzi,
mpaka umpate huyo sijui anaetimiza ndoto zako lol,tayari umeshakuwa ndembe ndembe!!!!!!