K K2S7J3 JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 449 Reaction score 332 Dec 23, 2013 #1 Nitapata wapi kitabu kiitwacho "MASIMULIZI JUU YA WASUKUMA" kilichoandikwa na JOHN M. MASUHA mwaka 1963
Nitapata wapi kitabu kiitwacho "MASIMULIZI JUU YA WASUKUMA" kilichoandikwa na JOHN M. MASUHA mwaka 1963
tpaul JF-Expert Member Joined Feb 3, 2008 Posts 24,225 Reaction score 22,632 Dec 24, 2013 #2 Sima70 said: Nitapata wapi kitabu kiitwacho "MASIMULIZI JUU YA WASUKUMA" kilichoandikwa na JOHN M. MASUHA mwaka 1963 Click to expand... jaribu kule kitumbini karibu na msikiti ulio jirani na viwanja vya mnazimmoja. kuna watu wanauza vitabu vya zamani maeneo hayo, huenda ukavikuta kule mkuu. ukivikosa hapo nenda kule UD. natumaini utafanikiwa.
Sima70 said: Nitapata wapi kitabu kiitwacho "MASIMULIZI JUU YA WASUKUMA" kilichoandikwa na JOHN M. MASUHA mwaka 1963 Click to expand... jaribu kule kitumbini karibu na msikiti ulio jirani na viwanja vya mnazimmoja. kuna watu wanauza vitabu vya zamani maeneo hayo, huenda ukavikuta kule mkuu. ukivikosa hapo nenda kule UD. natumaini utafanikiwa.