Naomben uchambuzi wa hili my girl friend hatakikunitambulisha kwa rafiki zake.

Naomben uchambuzi wa hili my girl friend hatakikunitambulisha kwa rafiki zake.

kindboy

Senior Member
Joined
Dec 11, 2010
Posts
142
Reaction score
28
Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja ambaye tumedumu kwa miaka miwili sasa, tatizo nikwamba hataki kunitambulisha kwa rafiki zake hasa wakiume ambao alikuwa nao vyuoni, na hata anaofanyanao kazi , nikimwambia why anasema not the right time yeye ni dada msomi na anakopato safi, sasa sijui kunanin nyuma ya pazia,
 
May be you are not the right man to her!!!!
 
Ukweli nikwamba anaonyesha sana kunipenda na ananijali even wadogo zake na family yake wananifahamu kwan huwa na join nao sana tu, am still doubting na hii tabia ya kushindwa kunitambulisha
 
Ukweli nikwamba anaonyesha sana kunipenda na ananijali even wadogo zake na family yake wananifahamu kwan huwa na join nao sana tu, am still doubting na hii tabia ya kushindwa kunitambulisha
Unataka akutambulishe wapi tena kama familia yake wanakufahamu, familia ndo muhimu kuliko hao watu wa nje. Amini, anakupenda dada wa watu. Jiamini.
 
Ukweli nikwamba anaonyesha sana kunipenda na ananijali even wadogo zake na family yake wananifahamu kwan huwa na join nao sana tu, am still doubting na hii tabia ya kushindwa kunitambulisha
Pole mkuu, ukiona hivyo ujue kuna anayetambulika. Ambaye rafiki zake wote wanamfahamu, wewe kalaga baho!
 
pole mwaya umekalia kuti nadhani huyo galfriend, kwake mwonekano wako hauko apealing...hii haimaanishi hakupendi wazazi wetu wengine ilikuwa hivi hivi hasa mama kama umeshabadilika shape hauna mvuto tena utawaona wanakwend mahali waliyotakiwa waje wote,mmoja anatangulia na mwingine anafuatia....hata ukumbini wanakaa sehemu tofauti,pima kama utavumilia hii hali ya kutotambulishwa for the rest of your life kama haikusumbui basi sioni haja ya kumtema ni minor ukifikiria,ila kama huwezi bora mbwagane
 
Pole mkuu, ukiona hivyo ujue kuna anayetambulika. Ambaye rafiki zake wote wanamfahamu, wewe kalaga baho!

Ni kweli.......wanawake tuna haka katamaduni......kapo sana tu........
 
You dont fit within the requirement, yaani anaona hata aibu. pole sana umevamia matawi siyo
 
You dont fit within the requirement, yaani anaona hata aibu. pole sana umevamia matawi siyo

Kwa hiyo yupo anayefit? na yeye ndo anafahamika? kazi tunayo.....
 
Kwa hiyo yupo anayefit? na yeye ndo anafahamika? kazi tunayo.....

hii mbona ipo pande zote........nakutambulisha ili iweje........ wakati sina mabiznes na wewe.........
 
hii mbona ipo pande zote........nakutambulisha ili iweje........ wakati sina mabiznes na wewe.........

It's so unfair, kama kweli huna mabiznes si bora useme tu mtu ajue.. ladies never cease to amaze me.
 
Kak ujue kwamba mpo weng kwake ndio maana hatki rafik,jamaa nk kujua kwamba anamahusiano na wew.chunguza vizur utapata jibu.
 
Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja ambaye tumedumu kwa miaka miwili sasa, tatizo nikwamba hataki kunitambulisha kwa rafiki zake hasa wakiume ambao alikuwa nao vyuoni, na hata anaofanyanao kazi , nikimwambia why anasema not the right time yeye ni dada msomi na anakopato safi, sasa sijui kunanin nyuma ya pazia,
Ushauri mwingi sana utapata hap JF kulingana na uelewa wa kila mmoja.
Lakini hebu usilize na wangu.
Je mmeshawahi kuongelea hatima ya uhusiano wenu? Hebu muwe na mda muongelee hilo.
Kuhusu kukutambulisha kwa rafiki zake hasa wa kiume, ndugu yangu hilo lisikutie wasiwasi unajua inaweza kuwa kipindi cha nyuma alishagakuwa na rafiki wa kiume ambaye wamesoma pamoja na rafiki zake wanamjua.
Sasa rafiki yangu achana na hayo jikite katika uhusiano wenu na hatima yenu.

Ningependekeza ukajitambulishe nyumbani kwao na ikiwezekana muanze utaratibu wa kutoa mahali.
Usiwe na presha nahisi kuwa anajua analo lifanya huenda akikutambulisha kuna kitu kibaya cha weza tokea.

Hebu muamini na uoneshe uanaume.

Sawa kaka?
 
Back
Top Bottom