Naomben ushauri natak kwenda chuo na nilikuw natak kusoma mechanical engineering na kama kun cozi nyingin bora ninayowez kujiari mnisaidie

Naomben ushauri natak kwenda chuo na nilikuw natak kusoma mechanical engineering na kama kun cozi nyingin bora ninayowez kujiari mnisaidie

Sijui vigezo vyq siku hizi ila physics D na maths D kisha chemistry na bios ndio C, C.. Sijui kama utakubaliwa maana hufikishi pointi 9
 
Kama huajfikisha umri wa miaka 25
Soma
Afya
Kilimo
Education
Civil engineering
Hizo course hapo ndo zinaendesha dunia miaka yote
 
Back
Top Bottom