De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Aug 1, 2018 #1 Mwili unauma sana karib mwezi na kitu sasa lakini sina homa, na mwili unanguvu kama kawaida ila unauma tu kila siku hasa nikifanya mapenzi keshoyake naamka viungo vyote vinauma hili ni tatizo gani
Mwili unauma sana karib mwezi na kitu sasa lakini sina homa, na mwili unanguvu kama kawaida ila unauma tu kila siku hasa nikifanya mapenzi keshoyake naamka viungo vyote vinauma hili ni tatizo gani
Bani Israel JF-Expert Member Joined May 27, 2016 Posts 1,775 Reaction score 3,593 Aug 1, 2018 #2 mkuu nenda hospitali ukapate vipimo ndio njia sahihi hakuna ushauri wingine wa mana.
nzoka boy JF-Expert Member Joined Oct 14, 2017 Posts 1,165 Reaction score 1,038 Aug 1, 2018 #3 Acha uvivu wa kufanya mazoezi
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Aug 1, 2018 Thread starter #4 tembajr said: mkuu nenda hospitali ukapate vipimo ndio njia sahihi hakuna ushauri wingine wa mana. Click to expand... Asante bro
tembajr said: mkuu nenda hospitali ukapate vipimo ndio njia sahihi hakuna ushauri wingine wa mana. Click to expand... Asante bro
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Aug 1, 2018 Thread starter #5 nzoka boy said: Acha uvivu wa kufanya mazoezi Click to expand... [emoji16][emoji16] mazoez nafanya sana tyu
nzoka boy said: Acha uvivu wa kufanya mazoezi Click to expand... [emoji16][emoji16] mazoez nafanya sana tyu
nzoka boy JF-Expert Member Joined Oct 14, 2017 Posts 1,165 Reaction score 1,038 Aug 1, 2018 #6 De NgoXha said: [emoji16][emoji16] mazoez nafanya sana tyu Click to expand... si kweli ww niamin mm mwili wako ume ufuga haufany zoez
De NgoXha said: [emoji16][emoji16] mazoez nafanya sana tyu Click to expand... si kweli ww niamin mm mwili wako ume ufuga haufany zoez
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,695 Reaction score 20,633 Aug 1, 2018 #7 Wasukuma jau sana
miminimkulimaakachekasana JF-Expert Member Joined May 29, 2017 Posts 3,263 Reaction score 4,730 Aug 2, 2018 #8 hivi mastori ya jf kweli yanatokea mtaani
Muzine JF-Expert Member Joined May 4, 2017 Posts 32,366 Reaction score 60,453 Aug 2, 2018 #9 Acha kutumia mastyle 20 kwa game moja jaribu kuwa mstaarabu alafu inaonekana hauna mazoezi ya viungo
proton pump JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 6,814 Reaction score 10,104 Aug 2, 2018 #10 Unafanya kila siku au Mara ngapi kwa mwezi?
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,395 Reaction score 25,049 Aug 2, 2018 #11 Ukimwi huo umeshakuingia nenda kaanze dozi hakuna namna ... R.I.P bro tutakukumbuka sana kwa michango yako hapa jf
Ukimwi huo umeshakuingia nenda kaanze dozi hakuna namna ... R.I.P bro tutakukumbuka sana kwa michango yako hapa jf
Nguvu moja JF-Expert Member Joined Oct 20, 2017 Posts 3,371 Reaction score 2,713 Aug 3, 2018 #12 Angalia majini mkuu
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Oct 9, 2019 Thread starter #13 Zesh said: Ukimwi huo umeshakuingia nenda kaanze dozi hakuna namna ... R.I.P bro tutakukumbuka sana kwa michango yako hapa jf Click to expand... 😂🤣🤣 nmepima hadi hepatitis sina
Zesh said: Ukimwi huo umeshakuingia nenda kaanze dozi hakuna namna ... R.I.P bro tutakukumbuka sana kwa michango yako hapa jf Click to expand... 😂🤣🤣 nmepima hadi hepatitis sina
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Oct 9, 2019 Thread starter #14 proton pump said: Unafanya kila siku au Mara ngapi kwa mwezi? Click to expand... 😂😂 mara moja tyu kwa mwez
proton pump said: Unafanya kila siku au Mara ngapi kwa mwezi? Click to expand... 😂😂 mara moja tyu kwa mwez
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Oct 9, 2019 Thread starter #15 Nguvu moja said: Angalia majini mkuu Click to expand... Duh
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Oct 9, 2019 Thread starter #16 Demiss said: Acha kutumia mastyle 20 kwa game moja jaribu kuwa mstaarabu alafu inaonekana hauna mazoezi ya viungo Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣asantee
Demiss said: Acha kutumia mastyle 20 kwa game moja jaribu kuwa mstaarabu alafu inaonekana hauna mazoezi ya viungo Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣asantee
De NgoXha Member Joined Aug 1, 2018 Posts 8 Reaction score 1 Oct 9, 2019 Thread starter #17 kurlzawa said: Wasukuma jau sana Click to expand... Nn tena mzee