Habari zenu ndugu zangu naomba kwa anayejua anisaidie.
Mwezi uliopita nilipata ajali na kwa bahati mbaya nilivunjika mvupa wa mkono karibu na viungio katika bega sasa nina mwezi bado mfupa haujaunga zaidi nakwenda hospitali nabadilishwa P.O.P na sitaki kutia chuma nawaombeni msaada kwa anaejua wapi nitapata tiba nitapona anijuze
Mwezi uliopita nilipata ajali na kwa bahati mbaya nilivunjika mvupa wa mkono karibu na viungio katika bega sasa nina mwezi bado mfupa haujaunga zaidi nakwenda hospitali nabadilishwa P.O.P na sitaki kutia chuma nawaombeni msaada kwa anaejua wapi nitapata tiba nitapona anijuze