Naombeni Chimbo la hair REMOVAL aina hizi please

Naombeni Chimbo la hair REMOVAL aina hizi please

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Wakuu anayejua chimbo la hii bidhaa kariakoo aniambie wale wa msimbazi hizi wanazitoa wapi?
81PEHsNsqxL%20(1).jpg
 
Hii isijekuwa ni Plot from the Book
If Tomorrow Comes -Sydney Sheldon...
 
Punguza utovu wa nidhamu ..

mfanyabiashara gani sasa hujui machimbo? Na hatukwambiii kwa hiko kidomo domo chako
Usiseme "hatukuambiwi" sema "sikuambiwi"[emoji23][emoji23] ungekua na nidhamu isingekua unadanga huku jf wahidu mmoja wewe
 
Mtoa mada umeanzisha huu Uzi kwa lengo zuri ila at the end of the day umeishia kutukana wachangiaji na sijaona hata connection Moja uliyopata.
NB: Kutukana mtu hakumfanyi mtu kuwa dhaifu na kumuondolea ubora pindi anapo switch off simu yake.

Usichukulie vitu serious na kutumia matusi akina depal wanakutania tu.
 
Maduka ya dawa karibu yote, sehem za vipodozi vinapatikana, nimetumia sana hii baada ya kuanza kuletwa feki nikaachana navyo nikarudi kwenye ya kopo
 
Mtoa mada umeanzisha huu Uzi kwa lengo zuri ila at the end of the day umeishia kutukana wachangiaji na sijaona hata connection Moja uliyopata.
NB: Kutukana mtu hakumfanyi mtu kuwa dhaifu na kumuondolea ubora pindi anapo switch off simu yake.

Usichukulie vitu serious na kutumia matusi akina depal wanakutania tu.
Huwaga sitaki utani wa kijinga kabisa......Mimi masuala ya kutaniana kwenye mambo ya msingi ndo sipendelei wala sio watani wangu

Hao ndo wanaifanya jf sikuhizi imekosa chachu kwa ujinga wao lets say hawa ndo wale mtu analeta jambo anaomba msaada au ushauri wanamtukana,kumcheka na kumkejeli mwishowe mtu anaona its better apeleke hata sehemu nyingine ila sio jf kwasababu ya kuwepo kwa malimbukeni kama hao

Post yangu ilikua na kosa gani hasa?Hivi inamake sense mtu anaweza kuja akaulizia chimbo la kipodozi fulani kwa matumizi binafsi?Ingekua nataka hizo hair removal kwa ajili yangu tu binafsi si ningeenda tu msimbaz au maduka ya kawaida huko si zipo wanauza elfu 10 au elfu 9? Nisingekuja kuuliza chimbo la bidhaa za jumla ingekua nataka moja kwa matumizi yangu

Lakini hiyo mijitu ilivyokosa utu imekuja kuharibu uzi wangu lakini nashukuru nimepata Pm ya mtu muungwana ashanielekeza
 
Back
Top Bottom