Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hunipi pole mepigwa ban mwenzio?
Usiseme "hatukuambiwi" sema "sikuambiwi"[emoji23][emoji23] ungekua na nidhamu isingekua unadanga huku jf wahidu mmoja wewePunguza utovu wa nidhamu ..
mfanyabiashara gani sasa hujui machimbo? Na hatukwambiii kwa hiko kidomo domo chako
Sina habari...ilikuaje?Mbona hunipi pole mepigwa ban mwenzio?
Nilitukana..yaan daa😔Sina habari...ilikuaje?
Pole sana.
Huwaga sitaki utani wa kijinga kabisa......Mimi masuala ya kutaniana kwenye mambo ya msingi ndo sipendelei wala sio watani wanguMtoa mada umeanzisha huu Uzi kwa lengo zuri ila at the end of the day umeishia kutukana wachangiaji na sijaona hata connection Moja uliyopata.
NB: Kutukana mtu hakumfanyi mtu kuwa dhaifu na kumuondolea ubora pindi anapo switch off simu yake.
Usichukulie vitu serious na kutumia matusi akina depal wanakutania tu.
Wameaamua kunirudishaSina habari...ilikuaje?
Pole sana.
Inapatika duka la mama Tik Tok, lililopo mitaa ya kitumbini.Wakuu anayejua chimbo la hii bidhaa kariakoo aniambie wale wa msimbazi hizi wanazitoa wapi?View attachment 2411465