Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Ayo umesema weeUhakiki unamhusu, isije ikawa Sitti Mtemvu part two
Leta Cv YakeWacheni kumsingizia mtoto wa watu
Watu mashankupe hasira zenu za kushindwa mnamsingizia mmasai wetu lol
Hebu tuambie hapa amesoma wapi sekondari, high school, na chuo kasoma wapi na kamalizia wapi....
Hahahahaaaaaaaaaaaa jf raha sanaMISS TANZANIA 2016
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo Kikuu akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingawa sio mshabiki wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili...
miss Tanzania sio miss wakispot spot