Naombeni CV ya Miss Tanzania 2016

Sijui kwanini wanapenda kudanganya wakati ana division IV ya 30 form four
Ni nani aliyedanganya?

Hakuna mahali huyu binti amesema kuwa ana degree

Haya ni maneno ya watu wametunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…